Tamasha la Sauti za Busara lazinduliwa visiwani Zanzibar
Sanaa
Sylvia Mwehozi
9 Februari 2018
Tamasha kubwa la muziki la sauti za busara linalofanyika visiwani Zanzibar, limezinduliwa ambapo wasanii wa muziki wa asili zaidi ya 40 wanashiriki tamasha hilo. Vidio na Yakub Talib. Papo kwa Papo 09.02.2018.