1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tamasha la kuhimiza utunzaji wa mazingira, DRC

17 Agosti 2022

Wanaharakati wa mazingira walikusanyika kwa siku tatu mfululizo katika kijiji cha Vichumbi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kuwahimiza raia kunako utunzaji bora wa mazingira katika hifadhi hii ya wanyama huku kukiwa pia burudani za muziki.

https://p.dw.com/p/4FfNt