Waziri wa afya Ujerumani Jens Spahn apata virusi vya corona. Idara ya Ujasusi Marekani yadai kuwa Iran na Urusi zimejaribu kuingilia kati uchaguzi wa Marekani wa mwaka huu. Na Shirika la Kutetea Haki za Binadamu Amnesty International lasema waandamanaji 12 wauawa Nigeria.