SiasaTaarifa ya habari za ulimwengu 04.10.2020To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaV2 / S12S04.10.20204 Oktoba 2020Rais wa Marekani Donald Trump asema anaendelea vizuri kiafya akiwa bado hospitalini. Azerbaijan yadai kukamata miji na vijiji kadhaa katika mapigano na Armenia. Na, Washukiwa watatu wa mauaji ya kimbari Rwanda wakamatwa Ubelgiji.https://p.dw.com/p/3jP26Matangazo