1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi Januari 7.01.2022

V2 / S12S7 Januari 2022

Makumi ya waandamanaji wauawa nchini Kazakhstan.// Rais wa Marekani Joe Biden amlimbikizia lawama mtangulizi wake kwa kueneza uwongo mwingi kuhusu uchaguzi uliopita nchini humo.// Spika wa bunge nchini Tanzania ajiuzulu baada ya kutofautiana kauli na rais kuhusu mikopo ya taifa.

https://p.dw.com/p/45EzN