1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 29.10.2017

John Juma
29 Oktoba 2017

Rais Uhuru Kenyatta aongoza kwa asilimia ya asilimia 98 ya kura katika uchaguzi uliosusiwa na upinzani huku hali ya taharuki ikiendelea kukumba baadhi ya sehemu za Kenya.// Kiongozi wa Catalonia aliyevuliwa mamlaka ahimiza kufanywa kwa upinzani wa kidemokrasia dhidi ya hatua ya Uhispania kuchukua udhibiti wa jimbo hilo.// Watu 25 wauawa kufuatia mashambulizi mjini Mogadishu Somalia

https://p.dw.com/p/2mgye