Rais wa Marekani Joe Biden ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kina ili kutambua chanzo cha maambukizi ya virusi vya corona+++Qatar imesema itatoa msaada wa dola milioni 500 ili kuijenga tena Gaza+++Na Zaidi ya watu 150 wanahofiwa kuzama Nigeria baada ya boti kuzama.