1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi - 24.03.2019

V2 / S12S24 Machi 2019

Mawaziri wa serikali ya Uingereza wanaripotiwa kupanga kumlaazimisha waziri mkuu Theresa May kuachia madaraka. Rais Donald Trump asifu ushindi dhidi ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu nchini Syria. Juhudi za uokozi zaingia wiki ya pili kufuatia kimbunga Idai kusini mashariki mwa Afrika.

https://p.dw.com/p/3FZpk