1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 12.11.2017

Yusra Buwayhid
12 Novemba 2017

Rais wa Marekani Donald Trump asema Rais wa Urusi Vladimir Putin hakuingilia uchaguzi wa Marekani. Rais wa Lebanon aitaka Saudi Arabia kutoa maelezo juu ya Waziri Mkuu wake Saad Hariri kutorejea nyumbani. Maelfu waandamana mjini Barcelona kudai kuachiliwa huru viongozi wa Catalonia waliokamatwa.

https://p.dw.com/p/2nThY