Rais wa Ujerumani Frank Walter Steinmeier akemea ubaguzi wa rangi wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya kuwasili wafanyakazi wa Uturuki. Mfanyakazi wa zamani wa Facebook atoa siri za mtandao huo mbele ya Seneti Marekani. Na jumuiya ya SADC yaongeza muda wa kikosi chake Msumbiji.