Trump akataa kutoa ushahidi bungeni// Uturuki yailaumu Marekani kuhusika na jaribio la mapinduzi la 2016// Biden asitisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini Ujerumani// Msaidizi mkuu wa Aung San Suu Kyi akaamatwa Myanmar// Kansela Merkel atiwa moyo na kushuka kasi ya maambukizo ya COVID-19// CDC: Tanzania kukataa chanjo ya Covid-19 kunahatarisha bara.