1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi Julai Mosi

V2 / S12S1 Julai 2022

Watu nane wameuawa na vikosi vya usalama nchini Sudan katika maandamano mapya.Vikosi vya Urusi vimejiondoa katika kisiwa cha kimkakati kwenye bahari nyeusi. Rais wa Uturuki amezieleza Sweden na Finland kwamba bado anaweza kuzuia dhumuni la nchi hizo kujiunga na Jumuiya ya kujihami NATO.

https://p.dw.com/p/4DUtv