1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 09.05.2022

Josephat Charo
9 Mei 2022

Raia 60 wa Ukraine wauwawa katika shambulizi la bomu kwenye shule mashariki mwa nchi hiyo. Wapalestina wawili wauawawa kwenye machafuko Ukingo wa Magharibi na Jerusalem Mashariki. Na Chama cha kihafidhina cha Ujerumani cha Christian Democratic Union, CDU kimeshinda uchaguzi katika jimbo la Schleswig-Holstein.

https://p.dw.com/p/4B0Dp