Mwendesha mashtaka katika kesi ya mauaji ya Rais Moise aachishwa kazi huko Haiti//Maafisa wa zamani wa ujasusi Marekani wakiri kutoa teknolojia ya Udukuzi kwa Falme za Kiarabu//Na Serikali ya Taliban yaahidi kutokubali nchi hiyo kutumika kama uwanja wa mashambulizi ya wanamgambo.