Kansela wa Ujerumani Merkel aonya dhidi ya kuwepo na matarajio makubwa katika mkutano wake na Rais wa Urusi Vladimir Putin leo//Italia yaanza mchakato wa kuifutilia mbali leseni ya kampuni iliyohusika katika ujenzi wa daraja lililoanguka huko Genoa//Kiongozi wa upinzani Mali ayakataa matokeo yaliyompa ushindi wa urais Rais Boubacar Keita