1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 10.12.2017

Grace Kabogo
10 Desemba 2017

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa nchi za Kiarabu, wameukosoa vikali uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel//Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi ametangaza rasmi kuwa nchi hiyo imeshinda vita dhidi ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu//Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Boris Johnson amefanya mazungumzo na mwenzake wa Iran, Mohammad Javad Zarif.

https://p.dw.com/p/2p5xR