1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 07.10.2020

Grace Kabogo
7 Oktoba 2020

Shirika la Kimataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali, OPCW lathibitisha kuwa sampuli zilizochukuliwa kwa kiongozi wa upinzani wa Urusi, Alexei Navalny zinaonesha kuwa alipewa sumu//Takriban nchi 40 zaitaka China kuheshimu haki za binaadamu za watu wa jamii ya Uighur//Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani amelitaka kundi la Taliban kuwa na ujasiri na kuweka chini silaha

https://p.dw.com/p/3jXLc