1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 07.02.2018

Grace Kabogo
7 Februari 2018

Urusi imesisitiza kuwa ina haki ya kuweka silaha zake popote pale itakapoamua katika eneo lake // Afrika Kusini imeahirisha hotuba ya rais kwa taifa ambayo ilikuwa itolewe kesho Alhamisi na Rais Jacob Zuma // Umoja wa Ulaya umezindua mpango wake mpya wa kuzipa uanachama baadhi ya nchi za Balkan ifikapo mwaka 2025.

https://p.dw.com/p/2sDll