1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 06.04.2018

Grace Kabogo
6 Aprili 2018

Urusi imeishutumu Uingereza kwa kuhusika na shambulizi la sumu dhidi ya jasusi wa zamani wa Urusi // Rais wa Marekani, Donald Trump ameapa kuongeza mara mbili zaidi ushuru wa bidhaa za China zinazoingia nchini humo // Mahakama ya Ujerumani imesema kiongozi wa zamani wa Catalonia, Carles Puigdemont anaweza kuachiwa huru kwa dhamana.

https://p.dw.com/p/2vZsF