Tuliyo nayo ni pamoja na : Saudi Arabia yapanga kupeleka wanajeshi wa ardhini nchini Syria// Wanajeshi wa kulinda amani watuhumiwa kufanya vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanawake katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati// Sherehe za Kanivali zafanyika katika mji wa Cologne nchini Ujerumani huku ulinzi ukiwa umeimarishwa.