Sumaye kugombea urais Tanzania 2015
11 Julai 2014Matangazo
Mwandishi wetu Doto Bulendu anazungumza na Sumaye juu ya kile kinachoonekana kuwa ni kuanza kinyang'anyiro katika chama tawala nchini Tanzania, CCM. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Doto Bulengu
Mhairiri: Saumu Yusuf