1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Somalia: Baraza la Usalama laregeza vikwazo vya silaha

25 Julai 2013

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,lililegeza vikwazo vya silaha Somalia, ili iweze kununua silaha na vifaa vingine muhimu, vitakavyoiwezesha kuimarisha usalama nchini ambayo imekumbwa na vita vya muda mrefu.

https://p.dw.com/p/19E2r
Somali imekumbwa na vita vya zaidi ya miongo miwili
Somalia imekumbwa na vita vya zaidi ya miongo miwiliPicha: Bettina Rühl

Hata hivyo nchi hiyo bado hairuhusiwi kununua zana nzito nzito za kivita, bila kibali kutoka Umoja wa Mataifa. Muda mfupi uliopita Daniel Gakuba amezungumza na mbunge wa Somalia Hussein Bantu kuhusu hatua hiyo ya Umoja wa Mataifa, na kwanza alitaka kujua iwapo serikali mjini Mogadishu imetoa tamko lolote. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Daniel Gakuba

Mhariri:Mohammed Abdul-Rahman