Katika makala ya Wanawake na Maendeleo leo tunaiangazia soka ya wanawake namna inavyoendelea kupata umaarufu Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla. Je wanawake wanaocheza mpira wanajihisi vipi uwanjani? Je mpira wa kike unakubalika? Na je ni changamoto gani ambazo bado zinawakumba wachezaji wa kike katika soka?