1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya Wanawake nchini Uganda

9 Machi 2007

Wanawake nchini Uganda pia walisherehekea siku ya kimataifa ya wanawake ambapo rais Museveni amewahutubia wananchi katika uwanja wa Kololo.

https://p.dw.com/p/CB5M
Mwanamke wa Uganda akionyesha mazao aliyopanda yeye mwenyewe
Mwanamke wa Uganda akionyesha mazao aliyopanda yeye mwenyewePicha: Das Fotoarchiv

Mada kuu katika hotuba yake ilikuwa kuwapa changamoto zaidi wanawake ili kukuza maendeleo ya kiuchumi na kisiasa nchini Uganda.

Mwandishi wetu Omar Mutasa kutoka Kampala anaripoti kamili.