1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Shirika la WTO kuongozwa na mwanamke

Josephat Charo
16 Oktoba 2020

Shirika la biashara la kimataifa WTO litaongozwa na mwanamke kwa mara ya kwanza katika historia yake baada ya Ngozi Okonjo-Iweala wa Nigeria na Yoo Myung-hee wa Korea Kusini kufuzu kwa duru ya tatu na ya mwisho ya mchakato wa kumpata Mkurugenzi mtendaji mpya wa shirika hilo.

https://p.dw.com/p/3k1AW