1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sheria ya hali ya hatari yatangazwa Misri

Saumu Mwasimba
10 Aprili 2017

Hali ya hatari yatangazwa Misri baada ya shambulio la IS dhidi ya kanisa la Koptik kuelekea Pasaka,Wasweden waomboleza baada ya shambulio la kigaidi,Mji wa Kinshasa wazizima baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa na Sudan Kusini mapigano ya kikabila yazuka upya

https://p.dw.com/p/2b0UG