JamiiAfrikaSherehe za Eid ul Adha nchini Tanzania To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaHawa Bihoga (Hon)21.07.202121 Julai 2021Waumini wa dini ya kiislamu nchini Tanzania wamesherehekea leo sikukuu ya Eid al Adha ambayo ni sherehe ya kuchinja. Katika ujumbe wa sala ya Eid, waziri Mkuu Kassim Majaliwa amegusia janga la virusi vya corona.https://p.dw.com/p/3xmSbMatangazoPicha: Said Khamis/DW