AfyaSaratani: Tatizo la Afrika linalozidi kuwa kubwaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfyaIddi Ssessanga23.12.201823 Desemba 2018Saratani husababisha karibu kifo kimoja kati ya sita duniani. Barani Afrika, saratani inayoathiri watu wengi ni ya maziwa, njia ya uzazi na tezi dume. Lakini ugonjwa huo unaweza pia kutibika. Jifunze mengi kuhusu saratani katika vidio hii. https://p.dw.com/p/3AZRLMatangazo