1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ripoti ya Tume ya Maridhiano yawataja Kenyatta, Ruto

23 Mei 2013

Viongozi wa ngazi za juu nchini Kenya, wakiwemo Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto, ni miongoni mwa waliopendekezwa kushtakiwa katika ripoti ya kushtusha iliyotolewa na Tume ya TJRC.

https://p.dw.com/p/18bwN
Kenya's newly elected President Uhuru Kenyatta attends the Easter Mass at the Saint Austin's Catholic church in the capital Nairobi, March 31, 2013. Kenya's Supreme Court upheld Uhuru Kenyatta's presidential election victory on Saturday and his defeated rival accepted the ruling, helping douse tensions after tribal violence blighted the election five years ago. REUTERS/Thomas Mukoya (KENYA - Tags: POLITICS ELECTIONS)
Uhuru Kenyatta Präsident von KeniaPicha: Reuters

Kutoka mjini Nairobi Sudi Mnette amezungumza na Profesa Ezebio Wanyama ambaye pamoja kuwa mwanasheria wa kimataifa pia ni mchambuzi katika  medani ya  kisiasa alejikita katika masuala ya ICC. Kwanza alitaka kujua umuhimu wa ripoti hiyo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Saumu Yusuf