1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais wa Zanzibar azungumza na DW

1 Novemba 2021

Rais wa Zanzibar Dokta Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa serikali yake imejifunza makosa ya mataifa mengine juu ya dhana ya laana ya rasilimali katika kipindi ambacho serikali yake inaendelea na utafiti wa mafuta na gesi asilia ndani ya Bahari ya Hindi. DW imemtembelea Rais Mwinyi Ikulu ya Mnazi Mmoja huko Zanzibar na kuzungumza naye katika mazungumzo yaliyoendeshwa na mwandishi wetu Dotto Bulendu. 

https://p.dw.com/p/42QqU