1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Kenyatta aamrishwa kuwateua majaji katika siku 14

22 Oktoba 2021

Mahakama Kuu Kenya imemuagiza Rais Uhuru Kenyatta kuwateua na kuwaapisha majaji 6 katika orodha iliyowasilishwa kwake na Tume ya Mahakama nchini humo JSC katika siku 14 zijazo. Iwapo Kenyatta atafeli kufanya hivyo ndani ya muda huo, Mahakama Kuu imeagiza kuapishwa kwa majaji hao na waanze majukumu yao mapya mara moja. Sikiliza mahojiano ya Saumu Njama na wakili wa kikatiba Justus Munyibia.

https://p.dw.com/p/421MK