1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Puntland yasitisha uhusiano wake na serikali ya Somalia

6 Agosti 2013

Mkoa unaojitawala wenyewe Somalia, Puntland umesema umesitisha uhusiano wake na serikali kuu ya taifa hilo kwa kuituhumu kukataa pendekezo la kugawana madaraka na serikali kuu ya Somalia.

https://p.dw.com/p/19KPb
Puntland eneo linalotawaliwa na Somalia
Puntland eneo linalotawaliwa na SomaliaPicha: DW

Sudi Mnette amezungumza na Mbunge Hussein Bantu aliyeko Mogadishu na kwanza alitaka kujua hatua hiyo wameipokeaje? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman