Polisi Kenya kupewa mamlaka ya kuuwa
17 Desemba 2013Matangazo
Serikali ya Kenya imetoa mapendekezo mapya ya sheria yatakayoleta mabadiliko katika utekelezaji wa majukumu ya polisi nchini humo ambapo endapo muswaada huo utapitishwa na kuwa sheria basi polisi nchini humo watakuwa na mamlaka ya kuuwa katika operesheni zao. Kutoka mjini Nairobi nazungumza na George Musamali, ambae ni mtaalamu wa masuala ya usalama na kwanza anaanza kuzungumzia mapendekezo hayo.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Yusuf Saumu