Uamuzi wa rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara kutangaza kugombea muhula mwingine katika uchaguzi wa mwezi Oktoba, umesababisha utata katika siasa za nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Khalid Hassan ni mchambuzi wa siasa za mataifa yanayozungumza Kifaransa, je anaitazama vipi hatua hiyo?