NAIROBI: Meli yatekwa nyara Pembe ya Afrika
29 Oktoba 2007Matangazo
Maharamia wa Kisomali wameteka nyara meli ya Kijapani katika Pembe ya Afrika.Mkuu wa Mradi wa Misaada ya Mabaharia-Afrika ya Mashariki,bwana Andrew Mwangura amesema,amearifiwa na duru za Somalia na Japani kuwa meli imetekwa nyara nje ya pwani ya Pembe ya Afrika.