1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mzozo kati ya Ufaransa na Italia

Daniel Gakuba15 Februari 2019

Mzozo unatokota baina ya Ufaransa na Italia, nchi mbili waanzilishi wa Umoja wa Ulaya, na ambazo ni majirani wenye mambo chungu nzima yanayowaunganisha, iwe kisiasa, kiuchumi na pia kijamii, ni mada kuu inayoangaziwa leo kwenye makala Mwangaza wa Ulaya yakiletwa kwako na Daniel Gakuba.

https://p.dw.com/p/3DQUR