1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sanaa

Mwanamke anayesimulia historia ya nchi yake kwa sanaa

Grace Kabogo
18 Septemba 2020

Dessie Kamkosera ni mwanamke mwenye umri wa miaka 78, umri ambao kwa wengi hawawezi tena kujishughulisha na chochote. Lakini moyo wa usanii ndani yake unamfanya asiweze kutulia na badala yake atumie michoro kutunza historia ya nchi yake ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

https://p.dw.com/p/3igcB