1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke anachukuliwaje kwenye miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika?

14 Julai 2011

Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka kwa Waingereza na baadaye kujiunga na Zanzibar mwaka 1964 kuunda Muungano wa Tanzania, lakini nafasi ya mwanamke katika mapambano ya uhuru huo haitajwi sana.

https://p.dw.com/p/RZlc
Mfuasi wa chama tawala nchini Tanzania, CCM
Mfuasi wa chama tawala nchini Tanzania, CCMPicha: picture alliance/dpa

Hawra Shamte anaangalia taswira na nafasi ya mwanamke kutoka harakati za uhuru wa Tanganyika hadi kuundwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mtayarishaji: Hawra Shamte
Mhariri: Othman Miraji