1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MUNICH: Maske amtandika Hill

1 Aprili 2007
https://p.dw.com/p/CCDX

Baada ya miaka kumi bila kushiriki katika mashindano ya ndondi, mwanabondia wa Kijerumani, Henry Maske, ameshinda shindano lake la kwanza baada ya uamuzi wa kujerea katika mashindao hayo.

Maske mwenye umri wa miaka 43, na bingwa wa zamani wa dunia katika wizani wa kati, alimshinda kwa pointi mmarekani, Virgil Hill, katika shindano lililofanyika kwenye uwanja wa Olympic mjini Munich hapa Ujerumani usiku wa kuamkia leo.

Shindano hilo limeshuhudiwa na umati wa watu 12,500.