Wakati rais wa Venezuela Nicolas Maduro na mkewe wakipandishwa kizimbani jijini New York,bado shambulio la Marekani linazusha mitizamo tofauti katika ulingo wa kisiasa ndani ya Marekani. Kwa wafuasi wa Trump, ni hatua sahihi na kwa wakosoaji wake, ni hatua iliyopitiliza na ya hatari. Mubelwa Bandio, ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa akizungumza kutokea Maryland, Marekani.