1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msongo wa mawazo kwa vijana kutokana na COVID-19

Bruce Amani Alakonya3 Agosti 2020

Janga la corona limevuruga mambo mengi. Wengi wamepoteza ajira. Wengi wameshindwa kuendelea na biashara zao kama ilivyokuwa zamani. Hali hii imesababisha wengi kubadili namna wanavyoishi. Kwenye kipindi cha Vijana Mchakamchaka tunaangazia tatizo la msongo wa mawazo kwa vijana kutokana na COVID-19. Bruce Amani anakujuza zaidi

https://p.dw.com/p/3gJRv