1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mpango wa kuwasambazia wakulima mbolea kidijitali Kenya

Thelma Mwadzaya/MMT7 Septemba 2020

Katika mataifa mengi barani Afrika, kilimo ni uti wa mgongo. Aidha wakulima wanatumia teknolojia kukiimarisha kilimo chao. Mathalan, nchini Kenya, kuna mpango ambao ni wa kusambaza mbolea kidijitali. Thelma Mwadzaya na mengi zaidi kuhusu mpango huo kwenye makala Sema Uvume.

https://p.dw.com/p/3i6KC