SiasaMoto wateketeza mali za wafanyabiashara huko KenyaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari25.09.201925 Septemba 2019Wafanyibiashara katika soko kubwa eneo la Magharibi nchini la Kenya - Kibuye lililopo mjini Kisumu, wanakadiria hasara kubwa ya mali yao iliyoteketezwa na moto asubuhi ya leo. Sikiliza ripoti ya Musa Naviye kutoka Kisumu.https://p.dw.com/p/3QDrxMatangazo