1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa SADC kuhusu mzozo wa Zimbabwe

28 Machi 2007

Viongozi wa nchi 14 wanachama wa Jumuiya ya ushirikiano wa maendeleo kusini mwa Afrika (SADC), wanatarajiwa kukutana mjini Dar es Salaam,Tanzania, katika kikao cha dharura kitakachojadili hali ya siasa na usalama katika eneo hilo pamoja na matukio nchini Zimbabwe.

https://p.dw.com/p/CHHP
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe
Rais Robert Mugabe wa ZimbabwePicha: AP

Taarifa inasema Robert Mugabe wa Zimbabwe anatarajiwa kuhudhuria mkutano huo.

Kutoka Dar es Salaam, mwandishi wetu Badra Masoud ametuletea ripoti zaidi juu ya mkutano huo.