1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano unaodurusu shughuli za mahakama ya ICC wamalizika Kampala

Josephat Nyiro Charo11 Juni 2010

Mada tete ilikuwa ni kutafuta maana ya uhalifu wa nchi kuivamia nchi nyingine

https://p.dw.com/p/NolW
Luis Moreno Ocampo, muendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya ICCPicha: AP

Kongamano la kwanza la kuurekebisha mkataba wa Roma wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu- ICC- ambalo limekuwa likifanyika mjini Kampala kwa wiki mbili sasa, na ambalo linafaa kumalizika leo limegeuka kuwa gumu kwani wajumbe bado wanatafautiana kuhusu jinsi uchunguzi wa makosa ya uchokozi unavofaa kufanyika.

Wakati tukianza matangazo yetu, wajumbe walikuwa bado wanaendelea na majadiliano wakitumai kuafikiana.

Mwandishi wetu Leyla Ndinda kutoka Kampala ametutumia taarifa ifuatayo

Mwandishi, Leyla Ndinda

Mhariri, Othman Miraji