Mkutano kuhusu kero za Muungano nchini Tanzania
20 Mei 2009Matangazo
Kero hizo mara nyingi zimesababisha mabishano kati ya baadhi ya wanasiasa wa Tanzania Bara na Visiwani, bila ya kujali wanatokea vyama gani vya kisiasa.
Othman Miraji alizungumza na Mohammed Seif Khatib, waziri wa nchi, ofisi ya makamo wa Rais, kuhusu masuala ya Muungano, na alianza kwa kuelezea matukio ya mkutano huo...
Mwandishi: Othman Miraji
Mhariri: Mohamed Abdulrahman