JamiiMjue mtu wa kale wa Neanderthal To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiYusra Buwayhid27.02.201827 Februari 2018Mwaka 1829 yalipatikana mabaki ya mtu wa kale wa Neanderthal, katika bonde la mji wa Düsseldorf, Ujerumani. Wanasayansi wanaamini kuwa ndiye babu wa watu wa barani Ulaya. Sura ya Ujerumani imefanya ziara katika makumbusho ya mtu wa Neanderthal.https://p.dw.com/p/2tNjUMatangazo