1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mji wangu: Serekunda Gambia

27 Agosti 2020

Serekunda ni kitovu cha utamaduni na uchumi wa Gambia. Mwanamuziki wa kufoka Ali Cham maarufu kama Killa Ace nchini Gambia anatutembeza katika mji huo wake. Je maisha ya vijana yakoje katika mji huo? Hebu tazama tupate kujua mengi.

https://p.dw.com/p/3hb2Q