Katika kipindi cha karibuni cha 22.09.2018, utaweza kumsikia mtangazaji na mwendesha blogu wa Tanzania Millard Ayo akiwa mgeni wa Idhaa ya Kiswahili, lakini pia pamoja na hadithi "kikisha kukutoka ndio utajua thamani yake," ipo safu ya Je, umeipata hiyo? Zaidi ungana na Sudi Mnette.