1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbinu za kuokoa mazingira zatafutwa Afrika

29 Agosti 2018

Zaidi ya wajumbe 800 kutoka kote ulimwenguni wanafanya mkutano jijini Nairobi kwa lengo la kujadili uhifadhi wa misitu na mazingira. Kikao hicho kimeandaliwa na Shirika la Programu ya Mazingira ya Umoja wa Mataifa UNEP.

https://p.dw.com/p/33zli
Msitu
Picha: picture-alliance/dpa/R. Hirschberger

J3:29.08.2018-Kenia: Global Landscapes Forum - MP3-Stereo